Nenda kwa yaliyomo

teknolojia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

teknolojia

  1. Jumla ya maarifa, zana, mbinu, na mifumo inayotumiwa katika uzalishaji wa bidhaa, utoaji wa huduma, au kufikia malengo fulani. Teknolojia hurahisisha kazi na kuongeza ufanisi; technology.