Nenda kwa yaliyomo

teigne

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kifaransa

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. (tiba) ugonjwa wa ngozi unaosababishwa na fangasi, unaosababisha mduara wenye ngozi nyekundu na kuleta muwasho

Tafsiri

[hariri]