Nenda kwa yaliyomo

tehama

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: tehama)

  1. teknolojia ya habari na mawasiliano inayohusisha utumiaji wa kompyuta ,simu na vifaa vingine vya kiteknolojia kuhifadhi, kusindika na kusambaza taarifa.