tarakilishi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]

Nomino
[hariri]tarakilishi n-n (wingi tarakilishi)
- mtambo wa kupiga chapa, kufanya hesabu na kusambaza ujumbe kwa barua pepe
Kisawe cha tarakilishi ni kompyuta.
Tarakilishi pia inaweza kufafanuliwa kama mashine ya elekronoki ya kuhifadhi na kuchanganua taarifa zilizoingizwa. Inaweza kukokotoa na kuongoza mitambo.