tanbihi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri](wingi: tanbihi)
- neno linalotumika kuashiria tahadhari au kitu cha kuzingatia.
- maandishi ya chini ya kurasa katika maandiko ya kitaaluma.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: warning note, footnote
(wingi: tanbihi)