Nenda kwa yaliyomo

systole

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. (wingi) systoles;awamu ya mzunguko wa moyo ambapo misuli ya moyo hukaza na kusukuma damu nje ya vyumba vya moyo kwenda kwenye mishipa mikuu

Tafsiri

[hariri]
  • Kiswahili:sistoli
  • Kifaransa:systole