summons
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mwito rasmi wa mtu kufika mahakamani, kazini, au mbele ya mamlaka kwa ajili ya mahojiano, ushahidi, au majukumu ya kisheria
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:mwito rasmi,wito wa mahakama
- Kifaransa:assignation,convocation