stoa
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- baraza la wazi la Kigiriki;jengo la kale lenye paa na nguzo lililotumika kwa shughuli za umma kama biashara, mikutano, au mafundisho ya kifalsafa
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili:baraza la wazi la Kigiriki
- Kifaransa:stoa