Nenda kwa yaliyomo

sonari

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mfumo wa kugundua vitu majini kwa kutumia mawimbi ya sauti, ama kwa kutuma mawimbi na kupokea mwangwi wake (sonari hai), au kwa kusikiliza mawimbi yaliyopo (sonari tulivu)

Tafsiri

[hariri]