shauku
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
shauku (wingi shauku)
- Shauku maana yake ni utayari, hamu ya kutenda au kutendewa jambo Fulani. Kwa mfano imeandikwa katika Biblia ZAB. :42:1
Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu. http://fr.bibles.org/swh-SUV/Ps/42