shauku

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

shauku (wingi shauku)

  1. Shauku maana yake ni utayari, hamu ya kutenda au kutendewa jambo Fulani. Kwa mfano imeandikwa katika Biblia ZAB. :42:1

Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu. http://fr.bibles.org/swh-SUV/Ps/42

Tafsiri[hariri]