shahanshah
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mfalme mkuu wa Uajemi (Persia), heshima ya kifalme ya juu zaidi kuliko shah; mara nyingine hujulikana kama "mfalme wa wafalme"
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: mfalme mkuu wa Uajemi, mfalme wa wafalme
- Kifaransa: shah des shahs