sehemu ya siri
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri](wingi: sehemu za siri)
- ni neno la heshima linalotumika kumaanisha viungo vya uzazi vya mwanamke au mwanaume, ambavyo kawaida havionyeshwi hadharani kwasabau ya staha, heshima na maadili.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: private part