Nenda kwa yaliyomo

sehemu ya siri

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: sehemu za siri)

  1. ni neno la heshima linalotumika kumaanisha viungo vya uzazi vya mwanamke au mwanaume, ambavyo kawaida havionyeshwi hadharani kwasabau ya staha, heshima na maadili.

Tafsiri

[hariri]