sceptre
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; sceptres)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha fimbo au bakora iliyopambwa, inayoshikiliwa na mfalme au malkia kama ishara ya mamlaka na utawala.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; bakora ya kifalme, fimbo ya enzi, alama ya utawala