Nenda kwa yaliyomo

satelaiti

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(wingi; satelaiti)

  1. kitu cha asili au kilichotengenezwa na binadamu, kinachozunguka gimba kubwa zaidi kama sayari au nyota. Satelaiti za kutengenezwa hutumika kwa mawasiliano, utafiti, na uongozaji

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza satellite