Nenda kwa yaliyomo

samaya

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kipali

[hariri]

Nomino

[hariri]

samaya (pi)

  1. wakati, saa
  • Evaṃ me sutaṃ – ekaṃ samayaṃ bhagavā ukkaṭṭhāyaṃ viharati subhagavane sālarājamūle.
    • Hivi ndivyo nilivyosikia: Wakati mmoja, Bhagava (Bwana Mtukufu) alikuwa anaishi Ukkattha, katika msitu mzuri chini ya mti mkuu wa sala. (Mulapariyaya Sutta kwa kiswahili)