saint
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; saints)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha mtu ambaye ametambuliwa kuwa mtakatifu au mwaminifu sana kwa Mungu au dini; mara nyingi huheshimiwa baada ya kifo chake.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; mtakatifu, mcha Mungu