Nenda kwa yaliyomo

rushwa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

rushwa

  1. Kitendo cha kutoa, kupokea, au kuomba kitu cha thamani (kama fedha) ili kumshawishi mtu aliye madarakani atende isivyo haki au kinyume na wajibu wake. Ni aina mojawapo ya ufisadi; bribe.