Nenda kwa yaliyomo

roboti

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

roboti (wingi maroboti)

  1. Mashine inayoweza kutekeleza majukumu mbalimbali kiotomatiki, mara nyingi kwa kufuata maelekezo ya kompyuta.

Tafsiri

[hariri]