rhea
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- ndege mkubwa asiyeweza kuruka kutoka Amerika Kusini, mwenye vidole vitatu, manyoya ya kijivu au kahawia, na shingo na kichwa vilivyojaa manyoya; hufanana na mbuni lakini ni mdogo zaidi
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: rhea, ndege asiyeweza kuruka wa Amerika Kusini
- Kifaransa: nandu, rhea