Nenda kwa yaliyomo

protoni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(Wingi; protoni)

  1. Chembe ndogo ya atomi thabiti inayopatikana katika viini vyote vya atomi, ikiwa na chaji chanya ya umeme sawa na ukubwa wa elektroni.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza; proton