programming language
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; programming languages)
- Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha mfumo rasmi wa msimbo na kanuni unaotumika kuandika maelekezo kwa ajili ya kompyuta.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; lugha ya programu