principle
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; principles)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kanuni au sheria ya msingi inayoelekeza tabia, imani, au utendaji; kweli ya kimsingi.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; kanuni, sheria ya msingi, ukweli wa kimsingi