platelet
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; platelets)
- Ni neno la kiingereza ambalo linamaanisha kipande kidogo cha seli kisicho na rangi na umbo la diski, kisicho na kiini, kinachopatikana kwa idadi kubwa kwenye damu na kinahusika katika kuganda kwa damu.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; kipande cha damu