Nenda kwa yaliyomo

pingouin

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kifaransa

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Ndege wa baharini wa familia Alcidae; jina hili hutumika kwa puffin na guillemot katika Kifaransa, lakini pia mara nyingi hutumika kimakosa kumaanisha penguin.

Tafsiri

[hariri]