pilum
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- (wingi) mikuki mizito ya kurushwa iliyotumiwa na wanajeshi wa Roma; zilitengenezwa kwa chuma na mbao, zikiwa na ncha ya piramidi iliyoweza kupinda baada ya kugonga adui au ngao
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: pilum, mkuki wa Kirumi
- Kifaransa: pilum