phytomining
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- (bioteknolojia) upandaji na uvunaji wa mimea inayochota metali nzito kutoka kwenye udongo kwa ajili ya uchimbaji wa kibiashara
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: uchimbaji-mimea
- Kifaransa: phytominage