Nenda kwa yaliyomo

phishing

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; -)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha jaribio la udanganyifu la kupata taarifa nyeti kama vile nenosiri kwa kujifanya taasisi inayoaminika.

Tafsiri

[hariri]

Kiswahili; ulaghai