perspective
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; perspective)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha mtazamo au namna ya kuona na kutathmini vitu; namna ya kufikiri kuhusu jambo fulani. Pia, linaweza kumaanisha uwezo wa kuona vitu katika uhusiano sahihi na kila kimoja.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; mtazamo, msimamo, uwezo wa kuona mambo