pato la taifa
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]pato la taifa
- Jumla ya thamani ya kifedha ya bidhaa zote na huduma zinazozalishwa na raia wa nchi fulani (ndani na nje ya nchi) katika kipindi cha mwaka mmoja. Ni kipimo cha utajiri wa kiuchumi wa nchi; gross national product.
|