passim
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Kielezi
[hariri]- hutumika katika maandiko ya kitaaluma kuonyesha kuwa jambo fulani linapatikana sehemu mbalimbali za maandishi; si katika sehemu moja tu bali limetawanyika
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: passim, mahali mbalimbali katika maandishi
- Kifaransa: passim, à divers endroits dans le texte