Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru
pasi (wingi pasi)
- kifaa kinachotoa joto ilikulainisha nguo iliyokunjika
- michezo Kupiga mpira kuelekea kwa mchezaji mwingine katika mchezo au mechi
- michezo (pasi ya mwisho) Kupiga au kurusha mpira kuelekeza kwa mchezaji mwenza kabla ya kufunga goli moja kwa moja.