Nenda kwa yaliyomo

pasi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

pasi (wingi pasi)

  1. kifaa kinachotoa joto ilikulainisha nguo iliyokunjika
  2. michezo Kupiga mpira kuelekea kwa mchezaji mwingine katika mchezo au mechi
  3. michezo (pasi ya mwisho) Kupiga au kurusha mpira kuelekeza kwa mchezaji mwenza kabla ya kufunga goli moja kwa moja.

Tafsiri

[hariri]