Nenda kwa yaliyomo

pango

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

pango (wingi mapango)

  1. shimo ndefu
  2. Ni muundo wa asili uliochongwa katika mwamba au ardhi ambao unaweza kutumiwa na wanyama,Wanadamu kama makazi.
  3. Ni malipo ya nyumba ya pangwa au kukodiwa.(Ngeli ya I-ZI)


Tafsiri

[hariri]