Nenda kwa yaliyomo

ovari

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

1. Kiungo cha uzazi cha kike kilichopo ndani ya fupanyonga, ambacho huzalisha mayai (ova) na homoni kama estrojeni na progesteroni.

Mfano: Ovari hutoa yai moja kila mwezi wakati wa mzunguko wa hedhi.

Visawe

[hariri]
  • mfuko wa mayai

Husika na

[hariri]
  • uzazi
  • mzunguko wa hedhi
  • homoni za kike
  • afya ya mwanamke