open source
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; -)
- Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha programu ambayo msimbo wake unapatikana kwa umma ili mtu yeyote autumie, aubadilishe, na kuusambaza kwa uhuru.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; chanzo huria