Nenda kwa yaliyomo

onkolojia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Shina la tiba linalojihusisha na uchunguzi, utambuzi, na matibabu ya saratani.
  2. Sayansi inayochunguza utendakazi, vyanzo, na matokeo ya uvimbe wa saratani.

Tafsiri

[hariri]