octopus
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mnyama wa baharini mwenye mwili laini na mikono minane yenye vikombe vya kunyonya; huishi kwenye maji ya chumvi na ni sehemu ya kundi la cephalopod
- nyama ya octopus inayoliwa kama chakula
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: pweza, nyama ya pweza
- Kifaransa: poulpe, viande de poulpe