Nenda kwa yaliyomo

nyutroni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(Wingi; nyutroni)

  1. Chembe ndogo ya atomi yenye masi sawa na protoni lakini haina chaji ya umeme, inapatikana katika viini vyote vya atomi isipokuwa ile ya hidrojeni ya kawaida.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza; neutron