Nenda kwa yaliyomo

novisi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: manovisi)

  1. mtu aliyeanza kitu kipya, hivyo hana uzoefu.
  2. mwanafunzi wa utawa katika kanisa katoliki aliye katika kipindi cha majaribio kabla ya kupew nadhiri rasmi.

Tafsiri

[hariri]