negation
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- tendo la kukataa au kukanusha jambo; hali ya kusema si kweli
- usemi unaobatilisha au kupinga pendekezo au dhana
- hali ya kutokuwepo au kinyume cha kitu halisi
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: ukanushaji, kupinga, kutokuwepo
- Kifaransa: négation, refus, absence