Nenda kwa yaliyomo

nauli

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: nauli)

  1. ni ada inayolipwa na abiria kwa matumizi ya chombo cha usafiri wa umma kama vile reli, basi, teksi, ndege, bodaboda, meli n.k.

Tafsiri

[hariri]