nauli
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri]nauli (wingi nauli)
- ni ada inayolipwa na abiria kwa matumizi ya chombo cha usafiri wa umma kama vile reli, basi, teksi, ndege, bodaboda, meli n.k.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: transportation fee