mycology
Mandhari
Kiingereza
[hariri]nomino
[hariri](wingi: mycology)
- tawi la biolojia linalojishughulisha na utafiti wa fangasi, ikiwa ni pamoja na miundo yao,ukuaji, uzalishaji na uhusiano na mimea ,wanyama na mazingira.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: sayansi ya uyoga