Nenda kwa yaliyomo

mungula

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

Kiswahili

  1. mwenye roho au mtawala wa majini au mtu mwenye uwezo wa kuwasiliana na majini au mtu anayemilikiwa na majini.
  2. Kuvuta kitu kizito ardhini kwa nguvu.

Visawe

[hariri]
  • mwenye pepo/mwenye mashetani

Matumizi

[hariri]
  • yule binti amekuwa mungula'baada ya kuoga mtoni.

Tafsiri

[hariri]