mungula
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri]Kiswahili
- mwenye roho au mtawala wa majini au mtu mwenye uwezo wa kuwasiliana na majini au mtu anayemilikiwa na majini.
- Kuvuta kitu kizito ardhini kwa nguvu.
Visawe
[hariri]- mwenye pepo/mwenye mashetani
Matumizi
[hariri]- yule binti amekuwa mungula'baada ya kuoga mtoni.