Nenda kwa yaliyomo

mtukufu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mtukufu m-wa (wingi watukufu)

  • Matamshi*: /m.tu.ku.fu/
  1. mwenye heshima kuu na hadhi ya juu.
  2. anayetukuzwa au kuenziwa sana katika jamii au kidini.