Nenda kwa yaliyomo

mtoro

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

(Wingi: watoro)

  1. ni neno la Kiswahili lenye maana ya mtu ambaye mara nyingi huwa anatoroka kutoka sehemu ambazo anatakiwa kuwepo kwa wakati huo

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: fugitive