Nenda kwa yaliyomo

mtindi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: mtindi)

  1. ni zao linalopatikana baada ya maziwa ya kawaida kuchachushwa na bakteria maalum waitwao kitaalamu Lactobacillus bulgaricus na Streptococcus thermophilus.

Tafsiri

[hariri]