msuguano
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]msuguano (wingi misuguano)
- Kitendo au hali ya vitu viwili kugusana na kupita juu ya kingine kwa nguvu; kukwaruzana au kukwanguliwa.[1]
- Nguvu inayopinga mwendo wa kitu kinaposogea juu ya kingine katika fizikia.[2]
- Tofauti ya maoni au migongano ya kijamii kati ya watu au makundi.[3]