Nenda kwa yaliyomo

msimulizi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mtu anayehadithia au kusimulia matukio, visa, au hadithi kwa hadhira; mhusika wa kutoa maelezo katika kazi ya fasihi au sanaa ya maonyesho

Tafsiri

[hariri]