mshtuko wa mzio mkali
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri](wingi; mishutuko ya mzio mikali)
- Matamshi*: /mʃtu.ko wa mzi.o ma.ka.li/
- hali ya kiafya ambapo mtu hupata mwitikio mkali na wa haraka wa mzio, unaoweza kuhatarisha maisha (mfano: kuvimba, kushindwa kupumua, au kupoteza fahamu).
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:anaphylaxis