mshikaji
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]1. mtu anayeshika kitu; anaweza kumaanisha pia anayekamata au anayeshikilia
2. Ni rafiki wa karibu sana au mtu wa kufahamiana naye vizuri
Mfano
[hariri]- Huyu ni mshikaji wangu wa muda mrefu
Tafsiri
[hariri]