Nenda kwa yaliyomo

msaidizi wa sauti

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

msaidizi wa sauti (wasaidizi wa sauti)

  1. msaidizi pepe au programu tumizi inayotumia utambuzi wa sauti na uchakataji wa lugha asili kutekeleza kazi , kutoa taarifa au kujibu amri

Tafsiri

[hariri]