msaidizi wa sauti
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]msaidizi wa sauti (wasaidizi wa sauti)
- msaidizi pepe au programu tumizi inayotumia utambuzi wa sauti na uchakataji wa lugha asili kutekeleza kazi , kutoa taarifa au kujibu amri
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: voice assistant (en)